SHOCKING PROPHECY DAY 1 SEMINA MOSHI.TO BISHOP MWANGASA.PROPHET LINUS:Kile ambacho nataka kwenda kusomea ndicho unacho wewe Bishop Mwangasa,wewe ni mwanasheria,BISHOP MWANGASA: Yes hundred percent.PROPHET LINUS TESHA:Pia wakati nimepiga magoti naomba Mungu amenionyesha wewe unamaono ya kufungua college ya wanasheria.BISHOP MWANGASA: Yes it is true man of God.PROPHET LINUS:Ni lazima itimie maana haya maono umekuwa nayo mda mrefu Mungu anaenda kukufanyia nafasi.BISHOP MWANGASA: I receive...in Jesus name.Thank you..#I am Prophet Linus Tesha.#Prophetic Machine.
BISHOP MWANGASA KATIKA FURAHA AKISIKILIZA UJUMBE KUTOKA KWA PROPHET LINUS TESHA
No comments:
Post a Comment